Home » » Mahafari ya 18 ya DSJ

Mahafari ya 18 ya DSJ

Written By peterdafi.blogspot.com on Tuesday, March 12, 2013 | 8:10 AM

Mahafari hayo yalianza mapema saa nne na Mh mgeni rasmi alianzia chuoni kwakukagua mazingira na vifaa vya chuoni hapo.

Hapa kushoto ni Mkuu wa chuo Mwalimu Lupepo kati niu Mh, Sitta na Mwalimu Sinka


Akionyeshwa vifaa vya idara ya Upigaji picha

 Mwalimu Sinka akifafanua jambo




 Hapa ni Studio ya Radio kwa ajili ya wanafunzi wa Journalism na Utangazaji.
 Mgeni rasmi aliingia katika gari nakuelekea katika viwanja vya Msimbazi Center

 Wahitimu






 Mkuu wa Chuo akisoma Risala kwa mgeni rasmi
 Mgeni rasmi nae alisema yake

 Mh, Risara yake ilikuwa ndefu na yakueleweka vema pia.
 Hapa ni kitengo maalum kwa watu maalum, wakijadili jambo Muhimu ili kuhakikisha mambo yote yanenda sawa.
 Ni mwendo wakueleweshana tu mpaka kieleweke apa chezea PP wewee..........!!!!!

 Hatimae waligundua kitu na kikaanza kufanyiwa kazi
 Viongozi wa DASJOSO Herri Mgaza na Marko Odida
 Nilikwambia waligundua jambo ndo wakaitana ili kulijadili vema na Hewkima na Busara zaidi
 Waheshiwa na wazazi wa vijana wa wahitimu
 Allan, Mbwana, Zai na Twaha wakiwa ni viongozi wa DASJOSO yani serikali ya wanafunzi
 Secretary wa Chuo, wapili ni Mama Mchungaji
 Secretary anaefuata ni Dine of Student



 Mkurugenzi wa Chuo na Rais waserikali ya wanafunzi Mh. Gerrald Ochali.
 walianza kuzawadiwa pia


Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. peterdafi - All Rights Reserved
Template Created by Eddie Sucre Published by Bongoclanblog
Proudly powered by Blogger