Home » » Siku ya mwisho ya Papa Benedict wa 16

Siku ya mwisho ya Papa Benedict wa 16

Written By peterdafi.blogspot.com on Friday, March 1, 2013 | 12:02 AM



Papa ameahidi kumheshimu mrithi wake
Papa Benedict amewaambia makadinali kadhaa kwamba atamuheshimu na kumtii mrithi wake.
Kiongozi huyo alikutana na baadhi ya makadinali wakati ambapo amefika ukingoni mwa uongozi wake katika kanisa katoliki baada ya kuamua kujiuzulu.
Papa Benedict amesema anatarajia kuwa Mungu atawaongoza na kuwalelekeza kuhusu nani hasa anastahili kuwa mrithi wake.
Baadaye kila kadinali aliyekuwepo mahali pale alimbusu Papa Benedict mkononi kama ishara ya kumuaga
Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. peterdafi - All Rights Reserved
Template Created by Eddie Sucre Published by Bongoclanblog
Proudly powered by Blogger