Home » , » Alichokisema Waziri Mkuu PINGA Bungeni leo asubuhi.

Alichokisema Waziri Mkuu PINGA Bungeni leo asubuhi.

Written By peterdafi.blogspot.com on Wednesday, June 19, 2013 | 11:39 PM

Wazir mkuu Pinda asubuhi hii bungeni

Akijibu swali bungeni la maswali kwa waziri mkuu, pinda amesema wale wanaovunja sheria polisi wawapige tu! Waziri mkuu akijibu swali bungeni amesema wao kama serikali wamechoka hvyo ni ruksa vyombo vya dola kupiga wananchi ambao ni wakaidi.

Ameongeza kuwa orodha ya wakaidi inajulikana na watachukuliwa hatua, zaidi ya hayo amesisitiza kuwa yeyote atakayeleta ukaidi asilalamike atakapoona kipigo kinamwangukia.
 "Wafanya fujo wote kamata weka ndani na wakikataa vyombo vya dola chapa bakora mpaka wakome na naomba tusilaumiane na kuanza kulaumu vyombo vya dola..."
Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. peterdafi - All Rights Reserved
Template Created by Eddie Sucre Published by Bongoclanblog
Proudly powered by Blogger