Home » , » Alichokisema Kigwangalla Leo....!!!

Alichokisema Kigwangalla Leo....!!!

Written By peterdafi.blogspot.com on Monday, September 9, 2013 | 5:22 AM

Imekuwa nikila siku sasa Mbunge huyu kusumbua mitandao ya Kijamii na Media za Bongo na Nje pia kwasema maneno yanayosisimua watu wengi sasa leo kaanza kwa Maneno haya....!!
 
 
"Wasomi wa kitanzania leo hii tuna katabia ka kuamini mambo haraka haraka bila hata kuyapa tafakuri tunduizi. Tusipobadilika tutaliangamiza taifa." FB
 
 
"Katika mikono ya Mungu aliye juu mnyonge habaki mpweke. Mbele ya jicho lake, kamwe hatokuwa mashakani!"  Twitter
"Kuna watu wanadhani na kuamini kuwa ukiwa kiongozi, ama tajiri, ama mtu mwenye mafanikio makubwa sana maishani basi hauna historia yako. Ama ni mtu mwenye raha muda wote. Hii hupelekea watu wengi kwenye jamii kuwachukia, kuwasingizia na kuwaonea watu hawa muhimu, maarufu na mashuhuri kwenye umma. Wengi huwachukulia km wanapendelewa, ni waovu na wanaponda sana maisha. Some proclaimed strong men are never even strong"! GB
Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. peterdafi - All Rights Reserved
Template Created by Eddie Sucre Published by Bongoclanblog
Proudly powered by Blogger