Home » » BREAKING NEWS: Fid Q Yamkuta J K Nyerere Air Port ....!!!

BREAKING NEWS: Fid Q Yamkuta J K Nyerere Air Port ....!!!

Written By peterdafi.blogspot.com on Saturday, September 14, 2013 | 6:24 AM

 tumeshushwa na kuambiwa ndege yetu bado.. So abiria woote tumeombwa turudi tena waiting room..
 Ni malalamiko mengi sasa kwa Precision air hii naweza kuithibitisha kwani ilishanitokea pia mimi kuchelewa kuondoka uwanjani.

Unaweza ona Malalamiko ya Fid Q hapa ni nilimuuliza swali kabla sijapost ktk Blog hapa.
  1. BREAKING NEWS: tumeshushwa na kuambiwa ndege yetu bado.. So abiria woote tumeombwa turudi tena waiting room.. SMH
  2. Uwanja gani na Ndege gani hiyo?
  3. Wa Mwalimu.. Precision “: Uwanja gani na Ndege gani hiyo?”

  1. BREAKING NEWS: tumeshushwa na kuambiwa ndege yetu bado.. So abiria woote tumeombwa turudi tena waiting room.. SMH
  2. Ooh.. Finally, baada ya kudelay kwa lisaa limoja.. Sasa ipo tayari kuondoka
  3. Kati ya makosa ambayo sina mpango wa kuyarudia..Ni pamoja na kusafiri kwa kutumia chombo cha shirika hili! hawajali muda kabisa
  4. Naam “: Prec ndo Precision Air? Waelekea safarini? Kama kawa Prec limedelay.. Na tayari tushaombwa radhi!! SMH”
Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. peterdafi - All Rights Reserved
Template Created by Eddie Sucre Published by Bongoclanblog
Proudly powered by Blogger