Dr. Magufuli aenda kupiga kambi Morogoro ama kusimamia mwenyewe ujenzi wa Daraja la Dumila lililopo mkoani Morogoro ambalo ni kiungo muhimu cha barabara ya Dodoma – Morogoro lililosombwa na mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia tarehe 22.01.2014 na kusababisha magari kutopita kabisa ama yanayotoka upande wa Dodoma au Morogoro, mbaya zaidi hakuna hakuna njia nyingine zaidi ya hiyo.
Baadhi ya picha za Waziri Magufuli aliyepiga Kambi darajani hapo:
Kazi za ujenzi zikiendelea
Waziri wa Ujenzi akikagua maeneo yaliyoharibika
Waziri Magufuli akitoa maelekezo kwa Watendaji wa Tanroads
Sehemu ya barabara iliyozolewa na maji ya mto Mkundi
Waziri Magufuli katika mtambo
Kazi za ujenzi zikiendelea
Kazi za ujenzi zikiendelea
MAGUFULI ahamia Dumila kujenga Daraja Lililovunjika....!!
Written By peterdafi.blogspot.com on Thursday, January 23, 2014 | 8:07 AM
Related Articles
- Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe Christine Mndeme , leo tarehe 3/6/2018 amekabidhiwa Mwenge wa Uhuru Na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe Christopher Ole Sendeka.
- AJALI MBAYA YAUWA MAAFISA WA SERIKALI
- KIFO CHA AKWILINA NI MTAJI WA SIASA KWA WANASIASA UCHWALA WA TANZANIA.
- SIKU YA USAFI,UVCCM WAMEFANYA USAFI OFISI YA DC CHAMWINO.
- WARAKA No. 2 WA MHE. SPIKA KUHUSU UGONJWA WA CORONA
- UVCCM CHAMWINO WAJAZA FOMU KWA NIABA YA BARAZA LA WADHAMINI
Labels:
kitaifa
Post a Comment