Ananukuliwa akisema,
"CHADEMA hatutakuwa tayari kwa wajumbe wa bunge maalum la katiba mpya kuongezewa posho zaidi ya shilingi 300,000/= (laki tatu),kwakuwa hela hiyo inawatosha kula,kulala na kufanya kazi zao vizuri wakiwa Dodoma.Na endapo watazidishiwa,kama chama,watazunguka kwa maandamano nchi nzima kwaajili ya kupinga upandishwaji wa posho hizo.Kupandishwa kwa posho hizo itakuwa maajabu kwa taifa hili."
Dr Slaa ametoa kauli hiyo jana tarehe 23-04-2014,akiwa jimbo la Kalenga.
Chanzo:- ITV
Post a Comment