![]() |
| Dk Kigwangalla Akiwa Ofisini kwake |
![]() |
| Mh, anatumia I Phine 5 Gold hii ndo anatumia kuwasiliana na wadau na wananchi wake Jimboni na Mambo yake yakiofisi hakika ukimpigia ukazungumza nae jua uko ktk Ulimwengu wa I Phone bana Hahahahaaaaaa |
![]() |
| Mh akiwa ktk Sura ya Umakini zaidi. |
![]() |
| Akitabasamu huonekana namna hii, na hapa alikuwa akizungumza na wageni wake Ofisini {hawaonekani ktk picha} |
![]() |
| Hii ni Ofisi yake Binafsi iliyoko Mitaa ya Posta niyakampuni yake Tangu hajawa Mbunge |








Post a Comment