Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ametoa semina kwa waandishi wa habari kuhusu umuhimu wa kufanya mazoezi ili kuepuka magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama vile kisukari,shinikizo LA juu la damu na moyo.
Katika kuelekea uzinduzi wa kampeni ya Kitaifa ya kufanya mazoezi na kupima Afya itakayozinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mama Samia Hassan Suluhu tarehe 17/12/2016 kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar Es Salaam kuanzia Saa 12.30 asubuhi
Uzinduzi huo utatanguliwa na matrmbezi ya hiari ya kilomita 6.
#AFYAYAKOMTAJIWAKOFANYAMAZOEZILANDAAFYAYAKO
Home »
kitaifa
» Waziri wa Afya Mh Ummy Mwalimu Amefanya Semina kwa Waandishi wa Habari kufanya Mazoezi.
Waziri wa Afya Mh Ummy Mwalimu Amefanya Semina kwa Waandishi wa Habari kufanya Mazoezi.
Written By peterdafi.blogspot.com on Thursday, December 15, 2016 | 8:22 AM
Related Articles
- KIFO CHA AKWILINA NI MTAJI WA SIASA KWA WANASIASA UCHWALA WA TANZANIA.
- SIKU YA USAFI,UVCCM WAMEFANYA USAFI OFISI YA DC CHAMWINO.
- WARAKA No. 2 WA MHE. SPIKA KUHUSU UGONJWA WA CORONA
- UVCCM CHAMWINO WAJAZA FOMU KWA NIABA YA BARAZA LA WADHAMINI
- MAVUNDE APOKEA MIFUKO 724 YA SARUJI KUTOKA CRDB BANK
- TANZIA: Mwanajeshi wa Tanzania auawa na wengine watano hali ni mbaya
Labels:
kitaifa
Post a Comment