UVCCM CHAMWINO WAJAZA FOMU KWA NIABA YA BARAZA LA WADHAMINI
Written By peterdafi.blogspot.com on Monday, March 9, 2020 | 2:56 AM
Katibu UVCCM Wilaya ya Chamwino Ndg Peter Dafi akiwa ameambatana na Mwenyekiti wake Ndg Abdallah Omar wamejaza Fomu ya Kumilikishwa Kiwanja chenye Ukubwa wa Area 10,000 SQM 25 By 40 Block D Chamwino.
Baada ya Kujaza Fomu na hapa akirudisha Fomu kwa Afisa Ardhi anaeshughulikia Mambo ya Ardhi.
Related Articles
- Pongezi za Peter Dafi kwa Mh Rais magufuli kwa Kutimiza Miaka 2 Madarakani.
- Pongezi za Peter Dafi kwa Mh Rais magufuli kwa Kutimiza Miaka 2 Madarakani.
- WARAKA No. 2 WA MHE. SPIKA KUHUSU UGONJWA WA CORONA
- MAVUNDE APOKEA MIFUKO 724 YA SARUJI KUTOKA CRDB BANK
- TANZIA: Mwanajeshi wa Tanzania auawa na wengine watano hali ni mbaya
- Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe Christine Mndeme , leo tarehe 3/6/2018 amekabidhiwa Mwenge wa Uhuru Na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe Christopher Ole Sendeka.
Post a Comment