Home » , » Viongozi wa Sudan waombwa wakubaliane

Viongozi wa Sudan waombwa wakubaliane

Written By peterdafi.blogspot.com on Sunday, September 23, 2012 | 4:17 AM


Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini na Omar al-Bashir wa Sudan
Bwana Ban alisema marais hao wanafaa kusahau tofauti zao kuhusu mafuta na mipaka, na badala yake wafungue ukurasa mpya wa amani na ushirikiano.
Sudan na Sudan Kusini zilikaribia kupigana vita kamili baada ya mapambano baina ya majeshi yao, kufuatia Sudan Kusini kujitenga na kupata uhuru Julai mwaka jana.
Mazungumzo ya kina yamekuwa yakifanywa, yakisimamiwa na Umoja wa Afrika.
Sudan Kusini imethibitisha kuwa Rais Salva Kiir atakutana na Rais Omar al-Bashir wa Sudan, kwa mazungumzo hapo kesho.

 na..
BBC
Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. peterdafi - All Rights Reserved
Template Created by Eddie Sucre Published by Bongoclanblog
Proudly powered by Blogger