Home » » VILAZA WA UKAWA ACHENI USONGOMBWINGO

VILAZA WA UKAWA ACHENI USONGOMBWINGO

Written By peterdafi.blogspot.com on Friday, July 8, 2016 | 8:33 AM

VILAZA WA UKAWA ACHENI USONGOMBWINGO
Uteuzi wa makatibu tawala wa wilaya umeibua taharuki..... Si taharuki kwa kuwa eti kweli ni taharuki bali kwa kuwa kuna VILAZA nchi hii wako taharuki na akili zao ni kutafuta shari kila siku....
Uteuzi wa watawala hawa umezingatia weledi, uadilifu umakini na dhana ya kutimiza malengo ya pamoja tukiwa wa moja.
Kilichoonyeshwa na magazeti mengi pamoja na maoni ya WAPIGA DOM wa UKAWA ni wivu unaitwa USONGOMBWINGO..... Ni wivu wa Joka la Kibisa...... Linazingira miti ya matunda na kula haliwezi...... Hii ni akili mbovu kabisa.....
Uteuzi huo umezingatia uwezo wa kutekeleza malengo ya pamoja kwa mlengo mmoja yaani GOAL CONCLUENCY kwa maana tumepata makatibu tawala wanaoimba wimbo mmoja na kuruka pamoja na kutua pamoja na Rais, waziri, RC, DC na wenye ilani yao Chama Cha Mapinduzi.....
This time hatujafunga mazee..... Yaani tumeondoa tatizo la rangi rangi sasa kama kuna mtu haridhiki afanye jambo moja tu.... Akasikilize nyimbo za Saida Karol atagundua kuwa yampasa AJINYONGE
Nitumie ukurasa huu kuwaasa, kuwaonya na kuwakanya wapotoshaji wote.... Kwamba tutafika ukomo wa kuwavumilia..... Sasa mumekosa hoja..... Badala ya mngekuja labda mseme walioteuliwa hawana weledi.... Mnakurupuka eti wameteuliwa Makada....... Kazi ya HAPA KAZI TU mlitaka wateuliwe JANJAWEED (Yaani wagonga viroba na Bangi)????? NO WAY......
Waandishi wa habari wachache mnaotumia kurasa za magazeti KUPOTOSHA mantiki na ukweli...... Tumieni kurasa hizo kuelewesha Umma...... Mbona inawezekana........
Wanasiasa UCHWARA nyie UKAWA kwenu sina hata la kuwaomba bali kuwaamrisha mkae kimya maana nyie blue kwenu ni nyeusi iliyofifia, Njano ni nyekundu ikiwa mbali mkiona nyeupe mnajua hamna kitu na nyeusi kwenu ni Usiku...... Please shut up......
Kama ilivyo haiwezekani kuteua baraza la mawaziri nje ya CCM, basi nje ya CCM huwezi kupata chochote....... Kama huko nyuma mlizoea kutuingizia MBU kwenye Net, this time imekula kwenu NET LIMETEMA MBU WOTE chezeni nao......
Kwa uhalisia subirini muone ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi itakavyotekelezwa alafu na nyie hatutawabagua kwenye maendeleo msijisikie vibaya mkiona shule, Hospitali, barabara, viwanda na huduma nyingine za Jamii, msije mkasusa maana akili yenu mnaijua wenyewe.... BANGI SANA
Naona Mshaanza kutokwa na mapovu baada ya uteuzi wa wakurugenzi, Mara Kakosea kawahamisha nani na nini Ufafanuzi ushatolewa kwa marekebisho hayo.
Acheni unazi bana
Na Mwaka HUU Mtaisoma Namba Kisawasawa......
........
MTANYOOKA TU.
HAPA KAZI TU!
By
Peter Dafi
Mtetezi wa Wanyonge.
Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. peterdafi - All Rights Reserved
Template Created by Eddie Sucre Published by Bongoclanblog
Proudly powered by Blogger