Home » » Waziri wa Afya Mh Ummy Mwalimu Amefanya Semina kwa Waandishi wa Habari kufanya Mazoezi.

Waziri wa Afya Mh Ummy Mwalimu Amefanya Semina kwa Waandishi wa Habari kufanya Mazoezi.

Written By peterdafi.blogspot.com on Thursday, December 15, 2016 | 8:22 AM

Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ametoa semina kwa waandishi wa habari kuhusu umuhimu wa kufanya mazoezi ili kuepuka magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama vile kisukari,shinikizo LA juu la damu na moyo.
Katika kuelekea uzinduzi wa kampeni ya Kitaifa ya kufanya mazoezi na kupima Afya itakayozinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mama Samia Hassan Suluhu tarehe 17/12/2016 kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar Es Salaam kuanzia Saa 12.30 asubuhi
Uzinduzi huo utatanguliwa na matrmbezi ya hiari ya kilomita 6.
#AFYAYAKOMTAJIWAKOFANYAMAZOEZILANDAAFYAYAKO

Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. peterdafi - All Rights Reserved
Template Created by Eddie Sucre Published by Bongoclanblog
Proudly powered by Blogger