Home » » Wilaya ya Monduli yazindua umezaji kingatiba ya ugonjwa wa vikope(Trakoma)

Wilaya ya Monduli yazindua umezaji kingatiba ya ugonjwa wa vikope(Trakoma)

Written By peterdafi.blogspot.com on Thursday, June 2, 2016 | 9:31 PM

Wilaya ya Monduli yazindua umezaji kingatiba ya ugonjwa wa vikope(Trakoma)


Wananchi wa kijiji cha Meserani wakisikiliza hotuba toka mkuu wa wilaya (hayupo pichani) wakati wa uzinduzi wa umezaji wa kingatiba za ugonjwa wa trakoma uliofanyika kwenye kitongoji cha Losingirani






Dkt.Upendo Mwingira(mwenye nguo burgundy) akimpatia kingatiba Mkuu wa Wilaya ya Monduli Francis Miti



Mama wa boma bi.Himayo Merio (aliyeshika kikombe)akipokea kingatiba toka Kwa mhudumu wa afya ngazi ya jamii bi.Jamila Karanga.zoezi hili linafanyika katika jamii hiyo kwa kuwatembelea kaya kwa kaya



Mkuu wa Wilaya ya Monduli Francis Miti akihutubia wanakijiji wa kijiji cha Meserani juu(hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa umezaji kingatiba ya ugonjwa wa vikope(trakoma),kulia ni Mratibu wa Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele toka Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamio,Jinsia,Wazee na Watoto,Dkt.Upendo Mwingira



Mwenyekiti wa kijiji cha Meserani juu,Ngimasirwa Silalee akimeza dawa kwenye uzinduzi huo,kulia ni mkuu wa wilaya ya monduli



Kikundi cha ngoma cha akina mama wajasiriamali cha kimasai wa kijiji hicho wakitumbuiza wakati wa uzinduzi wa umezaji wa kingatiba ya Trakoma


Diwani wa kata ya Meserani Mhe.Loti Naparana akimeza kingatiba ya Trakoma(Zithromax)wakati wa uzinduzi huo



Mmoja wa mtoto katika boma la mzee Sanare  Midimi wa kitongoji cha Losingirani akinyweshwa dawa iliyopo kwenye mfumo wa maji maalum kwa watoto wadogo

(Picha zote na Catherine Sungura-Wizara ya Afya)
Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. peterdafi - All Rights Reserved
Template Created by Eddie Sucre Published by Bongoclanblog
Proudly powered by Blogger