Home » , » Mkuu wa Wilaya Ally Salum Hapi Akabidhiwa Fimbo yakuchapia Mafisadi na Wazee wa IKICHE

Mkuu wa Wilaya Ally Salum Hapi Akabidhiwa Fimbo yakuchapia Mafisadi na Wazee wa IKICHE

Written By peterdafi.blogspot.com on Sunday, May 8, 2016 | 3:09 AM

Mh DC wa Kinondoni Ally Salum Hapi awa mgeni Rasmi katika kikundi ambacho kina wanachama 76  kati yao hao Wanaume ni 36 na Wanawake ni 40.

IKICHE ni kikundi ambacho kinafanya shughuli za kukopeshana kwa Shida na Raha.
Kikundi kina Miaka Minane Leo hii na kimedhaminiwa Cheti cha Usajili, Kikundi cha IKICHE kilianzishwa 13/04/2008 Jijini Dar es salaam

Wanachama wa IKICHE
Wageni waalikwa wakiwemo Maafisa wa Bank ya DCB kwa ajili ya kuelimisha Maswala ya Mikopo na kuwapatia Mikopo.
Meza Kuu Mh Mkuu wa Wilaya Akiwa na Viongozi, Kushoto ni Kada wa Chama Ndg Nyang'anyi, anaefuata ni Ndg Malema Kisha M/Kiti wa Kikundi cha Ikiche Ndg Saidi Mafita Anafuata Mkuu wa Wilaya Mh Ally Hapi Na Mwisho ni Ndg Abby Kaungu.
Ndg Nyang'anyi, anaefuata ni Ndg Malema Kisha M/Kiti wa Kikundi cha Ikiche Ndg Saidi Mafita Anafuata Mkuu wa Wilaya Mh Ally Hapi Na Mwisho ni Ndg Abby Kaungu
Meza hii Kuna Kushoto ni Nobert Kobwino, Kisha Wanaofuata ni Wazee Walezi na Washauri wa Kikundi cha IKICHE.
WANACHAMA WAKIUME WA IKICHE
Wanachama wakinamama wa Kikundi cha IKICHE.

Baadhi ya Wakinamama wakisikiliza Kwa umakini.
Katibu wa Kikundi cha IKICHE Ndg Hashimu Ally akisoma Hotuba kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni.
Mzee Mlezi wa Chama cha IKICHE amemkabidhi Ndg Ally Salum Hapi Kuwa Mlezi wa Kikundi cha IKICHE.
Mzee Kamkabidhi Bakora maalum kwa Kuchapia Wahujumu Uchumi na Mafisadi, Matapeli nk...  Wote wapatikanao Wilaya ya Kinondoni.
Pia Kakabidhiwa Bahasha yenye Nyaraka za Kibobezi.
Mh Ally Akimshukuru Mzee kwa Zawasi na majukumu aliyomkabidhi.


Mkuu wa Wilaya Akabidhi Cheti kwa Kikundi Cha IKICHE
Cheti cha Usajili wa Kikundi hicho
Picha ya Pamoja na Wazee waasisi na walezi wa Kikundi.
Picha ya pamoja na Viongozi wa Kikundi, Kushoto ni Muweka Azina, Mkuu wa Wilaya kisha Mwenyekiti wa Kikundi na Katibu wa Mwisho.
Picha ya Pamoja na Makada wa Chama cha Mapinduzi waliofika ktk Sherehe hiyo, Kushoto ni Malema, Kisha John Mboro, Mh DC Hapi, Peter Dafi, Abby Kaungu na Mwisho ni Ndg Nyang'anyi.
Hotuba ya Mh DC Hapi mbele ya Wana IKECHI
Picha ya Pamoja na Wamama wanakikundi cha IKECHI.
Picha ya Pamoja na Wanaume wanachama wa Kikundi
Picha ya Pamoja na Viongozi wa Chama cha IKECHI
HAPA UNAWEZA KUONA VEMA FIMBO ALOKABIDHIWA NA MZEE ALIEKUWA MLEZI.
Share this article :

Post a Comment

 
Copyright © 2011. peterdafi - All Rights Reserved
Template Created by Eddie Sucre Published by Bongoclanblog
Proudly powered by Blogger